Home General Tanzania Pastor Condemns Diamond Platnumz For Misusing “Hallelujah” Word In His New...

Tanzania Pastor Condemns Diamond Platnumz For Misusing “Hallelujah” Word In His New Song

Check out what fans had to say:

essau_fredrick: Yaani katika taifa na yote yanayo Endelea sasa hivi katika nchi yetu huyu mtumishi ameona wimbo wa diamond?like seriously na imekuaje mtumishi huyu kupata nafasi ya kuusikiliza?????kwel hiz n ck z mwisho na dalili zake sas ziko bayana kabisa,km n hbr y kwel lkn.

ricksmithjrs5:  hongera kwa kukiri kwamba yapo ambayo huyajui…unaonaje kwa spirit hiyo hiyo ukakiri na hili la hallelujah hulijui…maana unapoona neno joice unasema jina joice..na unatafsiri neno moja moja unaharibu maana. Ungeelewa maana ya “uttered in worship”…ungepata concept kwamba ni itumikayo kwenye nyakati za kuabudu na nyanja ya ibada…anaabudu nini vichupi au…unamsifu mungu kwa nini vichupi au kule kubambiana!!!

G Jonathan Kamenge: Mpaka kushawishi taasisi zote hizi kutengeneza jukwaa kubwa namna hii itachukua muda. Nadhani WASAFI iandikiwe barua yenye hoja hizi na ishauriwe kuondoa maneno hayo, nakala iendele BASATA na hao wengine. “….kazi hii inakuhusu wewe…”

Fred D: Msungu Askof Gwajima ndio anaweza hii kazi ..ngoja nimfikishie ujumbe wengine waoga

Baraka Samson Chipanjilo: Hahaha na hivi muda mrefu alikua hajapata Starter ya kuamshia Dude,,,,hii ukimpa atakushukuru sana ataliwasha Dude kwa nguvu

1
2
3
SOURCEkiss
Previous articleAfter Winning Tusker Project Fame Ruth Matete Says “I started having feelings of regret…..” A Spiritual Driven Christian
Next articleRescued

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here