Home General Diamond Scared To A Point Of Apologizing, After Pastor Says He Will...

Diamond Scared To A Point Of Apologizing, After Pastor Says He Will Turn Him Into Water,

The pastor went ahead to say that he was going to hold prayers live on YouTube for the singer, something that has scared Diamond to a point of apologizing to the pastor.

Simba akala nyasi. Lol!

The pastor posted;

gwajima

Diamond went on to plead with the pastor asking him not to reduce him to water as he had claimed to do;

“Chonde chonde mzee wangu @Bishopgwajima usinigeuze maji kesho ????, mana nakujua mzee wa single touch ukimuamulia mtu……. naweza jumapili ya kesho nikaiona chungu Mwaka mzima????????????”

Platnumz further went on to explain that he never meant to destroy the pastor’s name;

“Yala! Yala! Jamani Mwenzenu nimeyatimba????….. lakini mi nafkiri watu wanatakiwa waiskilize hii nyimbo kwa umakini sana tena sana na wataelewa nini ilikuwa maana yangu haswa… Hususani kama kipengele nilichomtaja mzee wangu……@Bishopgwajima nilisema: “mara nasikia vya aibu Konda na Gwajima eti ugomvi umekolea….ila kuchunguza kwa karibu ni kuna binti mmoja tu ndio kwa mitandao anachochea…”

He continued;

“Point yangu ni kwamba licha ya kweli kuna yaliyojiri nyuma, lakini kwa busara zao ninazoamini wamejaaliwa na Mwenyezi Mungu muda si mref wangekaa chini na kumaliza…nawote kufurahi kwa pamoja, lakini kwakuwa kuna dada mwingine alikua anachochea hawa ndugu zetu wazidi kufarakana…ikapelekea hadi kufikia hapa…asa hapo kosa langu mie liko wapi?????”

Does this now confirm that Diamond has been releasing Witchcraft music? After all who believes that they have the power to change someone into a mass of water? Who? I’ll let you be the judge but nevertheless, listen to the song that put Diamond into trouble;

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=GDGbc0V7Was?feature=oembed]

1
2
SOURCEmsanii
Previous articleHow Safaricom’s FLEX Bundle has changed my business
Next articleThings You Didn’t know About Diana Marua, Bahatis Prayer Partner

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here